Habari wanajamii. Mimi huwa nasumbuliwa sana na kiungulia, nikiwa mjamzito huwa kinazidi. Nini husababisha kiungulia? na ninini dawa ya kiungulia? Naomba mnielimishe!
Husababishwa na kujaa gesi(tindikali) tumboni,ujauzito hupunguza nafasi ya tumbo na kufanya umeng'enywaji wa chakula kutokuwa vizuri na hivyo tindikali (hcl) kuzidi! Tumia Relcer gel au Magnesium yoyote ya maji kama nimekosea nisahihishwe
wakuu me nakunywa maziwa glasi moja paka mbili daily,cinywi soda sana,nakunywa juice ya maembe,passion,nunus nk: lakini napata hiyo kitu sana,tatizo nini? Hakuna tiba permanent?