Kiuno kimeniletea matatizo!

Ungemwambia ambae kinamhusu...au ulitaka shemeji akusaidie kukikanda?!
<br />
<br />
Duu acha mabango lizzy!na wal ckufikiria atachukulia vibaya cz kiuno ni part ya mwili kama yalivyo macho,pua,mdomo n.k
 
sio wivu but chunga mdomo wako,
<br />
<br />
hahahaaa we ni mgeni humu lakini naona unakuja kwa kasi haya bwana nasubiri thread zako,ntauleta huu mdomo unisaidie kuchunga cz niko busy sana na job ctaweza kushika mawili.
 
Duu acha mabango lizzy!na wal ckufikiria atachukulia vibaya cz kiuno ni part ya mwili kama yalivyo macho,pua,mdomo n.k

Hata maziwa ni sehemu ya mwili...na wowo ni sehemu ya mwili ila huwezi kuongelea kuhusu ongezeko la wowo yako na shemeji...haya USIRUDIE TENA.
 
<font size="3">we ndo upunguze wivu na kutunza hilo bakuli lako</font>
<br />
<br />
sina wivu na ndio maana nilichukulia ni moja ya viungo vilivyoko kwenye mwili wangu!afu nahc bakuli lako litakuwa kubwa kuliko lako
 
Hata maziwa ni sehemu ya mwili...na wowo ni sehemu ya mwili ila huwezi kuongelea kuhusu ongezeko la wowo yako na shemeji...haya USIRUDIE TENA.
<br />
<br />
sawa dada ctarudia
 
Hapo mi sioni tatizo. Mimi kiungo chochote kikiuma nasema kasoro (K, na T). Tatizo wabongo tumekuwa na tabia mbaya ya kutafsiri vibaya maneno ya watu. Sasa mimi kiuno kiniume nisiseme; nasema hata kwa kakangu no matter what caused the pain. Mbona mama akiumwa baada ya kujifungua watu hawaoni ni mbaya maana mimba inajulikana inatoka wapi. Kha.
 
mweh! sasa kwa nini UNAINAMA KWENYE COMPUTER kutwa nzima. wewe ni fundi, secretay ama mfagiaji?

<br />
<br />
Jamani mi ckujua coz ndipo palipokuwa panauma afta kuinama kwenye computer cku nzima.itabd niombe msamaha
 
sasa uliinama mwenyewe au
uliinamishwa?lol
 
Jamani yamenikuta mwenzenu leo baada ya kumjibu rafiki wa boyfriend nimefanya kazi mpk kiuno kinauma!eti naulizwa nimemjibu hvyo ili anisaidieje??punguzeni wivu jama khaa!

Kama nimekuelewa, ikiwa kakuumiza kiuno kwa shughuli alizokupa baada ya kuwa na hasira, sasa ni sifa nzuri au mbaya?
 
Kama nimekuelewa, ikiwa kakuumiza kiuno kwa shughuli alizokupa baada ya kuwa na hasira, sasa ni sifa nzuri au mbaya?
<br />
<br />
zomba rudia kusoma thread yangu bana cjamaanisha hv
 
Ilikupasa uipitishe kwa BF wako hiyo sms aiapprove kabla hujaituma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…