Gundi ( hili gundi limekaa kama ubani wa kufukiziya ) ukiwaambia wenye kuuza madawa wanafahamu. Unasaga unakuwa unga.
Lozi ( unaroweka kwa maji ya mfukuto kisha unatoa maganda na unazikausha kidogo kwenye oven kisha unazisaga.)
Sukari ya Mawe au sukari guru (sukari nyekundu)
Hiliki
Za'fani
siagi kidogo
Maziwa
** Unayayusha siagi yako kisha unatia sukari (mawe au guru) kisha unatia lozi unachanganya kisha unatia gundi, hiliki na za'faran. unaiyepua unaitia kwenye sinia.
*** Ikisha kupoa unatia kwenye chupa au pahala kuihifadhi.
NAMNA YA KUTUMIA:- Kijiko cha supu kimoja asubuhi utakula na usiku kimoja.
MAZIWA UTAKUNYWA GILASI MOJA ASUBUHI BAADA YA KWISHA KULA HIYO DAWA NA USIKU GILASI MOJA BAADA YA KWISHA KULA DAWA.