Ana kijipu uchungu huyo
tena kitakuwa kwenye dushelele
Hha ha ha, hamisi na Mwaju mnanichekesha majibizano yenu.
Heheheheeeee:biggrin1:
nigongee japo nusu 'like' hamisi.
Laiki na rep power juu.
hehehehe! Leo umeamkia wapi unanikosha hivi!!
Dah invizibo kaniwekea roho stoki la sivyo ningekugongea tena rep power. Gademu invizibo.
Alafu kwa nini umenibania kunifundisha log wewe.....nimesubiri tokea mwaka juzi lakini wapi
hahaha! Basi kesho asbh usisahau kunigongea. Darasa lianze lini? Mie tangu mwaka juzi nasubiri mwanafunzi hutokei.
Afu nyie Nyani Ngabo na Husninyo nawapa ban ya kuvaa nguo usiku wa leo.
hiyo adhabu kali sana kwetu. Eti hamisi utaiweza?
Ntaiwezea wapi miye hiyo. Ni sawa na kunambia nikimbie marathon kwenye jua kali bila kunywa maji.
mie sawa sawa anambie niache kulamba koni. Lol. Halafu hiyo zawad yangu mbona haifiki hamisi?
Vuta subra Mwajuma....iko njiani