GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sababu kuu ya kutokewa na lililowatokeeni majuzi huko kwenu Kagera ni baada ya " vurugu " zenu kubwa zinazojulikana tokea enzi na enzi mlizozifanya usiku kucha wakati wa Tamasha la Fiesta eneo maarufu la " katerero " hivyo Mababu na Mabibi zenu " walikasirika " na kuamua kuwaadhibu kama walivyowaadhibu?
Sasa mnataka tuwachangieni ila nadhani mnatambua kabisa kuwa huku kwetu Mkoani Mara zao letu kuu ni Cannabis Sativa a.k.a Urithi wa Bob Marley je mnataka tuwaleteeni huko Kipindi hiki ili " mlanduke " zaidi ili iwe kama " ganzi " kwenu na mpate usingizi kwani tunaambiwa kwa sasa hampati kabisa usingizi.
Wana Mkoa wa Mara sasa tunajipanga kuja kuwachukuwa Wanawake wa Kihaya ambao mara nyingi sana huwa " wanaturingia " sisi wana Mara ila najua kwa shida na njaa za sasa " tutawabeba " wengi mno na kuja kuwahifadhi, kuwaoa na kuwazalisha huku kwetu Mkoani Mara.
Watani zangu wa Mkoani Kagera Wahaya bhana....hivi kwanini Mkoa wa Mara hatukumbwi na " majanga majanga " kama haya yanayowatokeeni nyie mara kwa mara?
Njooni " mtubu " dhambi zenu kwenye Kaburi la Mtani wenu Mkuu Baba wa Taifa huku Butiama ili awaombee " msamaha " kwa Mwenyezi Mungu na msitokewe tena na " mabalaa " kama hayo. Nasikia mnalalamika hamna chakula hivi wale " senene " sasa hawaruki ruki tena hapo katika Viwanja vya Kashai? Safari mtakula hadi " panzi " kudadadeki zenu.
Kama Wewe ni Mwana Mkoa wa Mara tafadhali karibu uendeleze " utani " wetu dhidi ya hawa Wajomba na Shangazi zetu wana Mkoa wa Kagera. Wakora waitu wote!
Sasa mnataka tuwachangieni ila nadhani mnatambua kabisa kuwa huku kwetu Mkoani Mara zao letu kuu ni Cannabis Sativa a.k.a Urithi wa Bob Marley je mnataka tuwaleteeni huko Kipindi hiki ili " mlanduke " zaidi ili iwe kama " ganzi " kwenu na mpate usingizi kwani tunaambiwa kwa sasa hampati kabisa usingizi.
Wana Mkoa wa Mara sasa tunajipanga kuja kuwachukuwa Wanawake wa Kihaya ambao mara nyingi sana huwa " wanaturingia " sisi wana Mara ila najua kwa shida na njaa za sasa " tutawabeba " wengi mno na kuja kuwahifadhi, kuwaoa na kuwazalisha huku kwetu Mkoani Mara.
Watani zangu wa Mkoani Kagera Wahaya bhana....hivi kwanini Mkoa wa Mara hatukumbwi na " majanga majanga " kama haya yanayowatokeeni nyie mara kwa mara?
Njooni " mtubu " dhambi zenu kwenye Kaburi la Mtani wenu Mkuu Baba wa Taifa huku Butiama ili awaombee " msamaha " kwa Mwenyezi Mungu na msitokewe tena na " mabalaa " kama hayo. Nasikia mnalalamika hamna chakula hivi wale " senene " sasa hawaruki ruki tena hapo katika Viwanja vya Kashai? Safari mtakula hadi " panzi " kudadadeki zenu.
Kama Wewe ni Mwana Mkoa wa Mara tafadhali karibu uendeleze " utani " wetu dhidi ya hawa Wajomba na Shangazi zetu wana Mkoa wa Kagera. Wakora waitu wote!