Kivazi cha Ally Rehmtullah

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Nimependa ubunifu wa mshkaji.


lakini mhhh! hiyo handbag na style ya bowtie inanipa mashaka kama ilikuwa kwa ajili ya kupiga picha tu au ndo mtoko wenyewe.... Mliokuwepo kwenye TANZANIA RED RIBBON FASHION GALA iliyofanyika DSM
 
hizo handbags za wanaume mbona kawaida sana Milano? Sema jengine kaka
 

Angalia tshirt hiyo. shigo yake siyo style ya kumeni.
Au ndo ubunifu to the next era??





Hicho kibegi kimeonekana occassions tofauti...

Nini tunachojifunza hapo?
 
Huwezi kumtegemea fashion designer avae kaa anavyovaa mtu mwengine mtaani. Hatauza kazi zake.
 
Ila ubuifu wake ninaufagilia sana maana analeta new taste ktk fashion industry ya bongo ingawa style zake karibuni ni western
 
mmmh mi ntakuwa wa mwisho kuvaa such designs na kutembea na handbag za design hiyo!! Acha nionekani mshamba tu.....!!!
 
nimependa macho yake akuna design ya macho yake
tununue ama alishalamba mkunjatini
 
Lazima avae yeye. If yeye mwenyewe hakiamini kile anachoki-design kiasi cha kukivaa, kwa nini watu wengine wakinunue?

Madesigners wa nje pia wengi wanavaa vituko

Lazma avae yeye hana ma models?
 
Lazima avae yeye. If yeye mwenyewe hakiamini kile anachoki-design kiasi cha kukivaa, kwa nini watu wengine wakinunue?

Madesigners wa nje pia wengi wanavaa vituko
Gaijin, Unamtetea mno huyu kijana.
hebu declare interest kwanza best
 
Ha ha ha ........hamna kitu mkuu. Mimi nilikuwa na state facts tu.

Ukienda maduka yenye majina kwenye miji mikubwa yoyote handbags za wanaume ni kawaida na bei yake ni hatari!

Kuvaa vituko kwa designers pia ni kawaida.

Note: Sijatetea kuwa tabia hiyo ni sawa au la, nasema kuwa siajabu tu. 😀


Gaijin, Unamtetea mno huyu kijana.
hebu declare interest kwanza best
 
Nkuu Gaijin niekusoma.
Ila unaposema handbag za kiume nakuelewa ila style ya hiyo handbag ndicho nilichojadili hapa. Unajua handbag za kike zinajulikana kwa kuzitazama tu. Sasa hii tabia ya mtoto wa kiume kuchukuwa handbag ya dada yake na kutoka nayo mtaani au kwenda nayo kwenye aoccassion kubwa halafu unakwenda public to even wasiokuwepo ukumbini, hapo natilia shaka uadilifu wa kifikra alio nao mtu kama huyo.

Narudia kuwa designs za Ally zimetulia ila anavyotoka inatia shaka sana. Kwa nini nasema shaka, kwa sababu tuna designers hapa bongo wa kiume lakini kimaadili wapo kinyume na jinsia zao (wanaume) na wanajulikana (sitaji majina)... Pia asilimia kubwa ya designers wa ulimwengu ni shogaz kwa kwenda mbele. Wenyewe wanasema hivyo na kadhalika.
Najadili hapo..........
 


haya dada kamtambulishe kwenu huyu basi kama mumeo mtarajiwa kaa ukoo haujakutenga

 
Haya bwana.

Mie simo kwenye ku speculate maisha yake binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…