Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Habari za asubuhi ndugu zangu,hii ipoje kivuko kipindi cha mwenda zake kilikuwa ni 24 hrs kwa sasa imekuwa tofauti toka 7 usiku tupo jam Busisi eti hadi kuche ile kauli kuwa kazi iendelee ina puuzwa au ipoje wakuu?
Watu wanawahi katika uzalishaji sasa wanakalishwa hapa je ingekuwa kivuko binafsi na hi nyomi si mwekezaji angejipatia fedha za kutosha?:Sasa Serikali inakosa mapato.
Kuna kimoja cha MV Mwanza nacho kinafanya kazi lakini kinatoa moshi mwingi na kikienda raundi moja, kurudi kinachukua muda mrefu.
Ufafanuzi wa Mkuu wa Wilaya, soma hapa ~ DC Sengerema afafanua taarifa ya kivuko kimoja kusimama kutoa huduma Kigongo - Busisi
Soma Pia: Busisi - Kigongo kivuko kimoja ndicho kinafanya kazi na kupelekea usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa huduma hiyo
Watu wanawahi katika uzalishaji sasa wanakalishwa hapa je ingekuwa kivuko binafsi na hi nyomi si mwekezaji angejipatia fedha za kutosha?:Sasa Serikali inakosa mapato.
Kuna kimoja cha MV Mwanza nacho kinafanya kazi lakini kinatoa moshi mwingi na kikienda raundi moja, kurudi kinachukua muda mrefu.
Ufafanuzi wa Mkuu wa Wilaya, soma hapa ~ DC Sengerema afafanua taarifa ya kivuko kimoja kusimama kutoa huduma Kigongo - Busisi
Soma Pia: Busisi - Kigongo kivuko kimoja ndicho kinafanya kazi na kupelekea usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa huduma hiyo