shida hapo panashibisha matumbo ya watu ndo maana watu wananufaika kupitia shida za wananchi.. wangeweka hata floating bridge kama ya lukonimombasa ila wstakosa ulaji.. floating bridge kwa ajili y a wapita miguu na baiskeli..linafunga na kufunguka meli zinapopita.. cause hapo ni less than 2km walk