Kivuli cha wanachama fulani hata kama wako sawa kinaharibu kupata katiba. Warioba anatosha

Kivuli cha wanachama fulani hata kama wako sawa kinaharibu kupata katiba. Warioba anatosha

Paf

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
1,703
Reaction score
3,307
Kwa mda mrefu mjadala wa katiba mpya umekuwa ukitumia pesa nyingi lakini masilahi ya vyama badala ya utaifa kwanza umekuwa kikwazo kupata katiba mpya.

Yupo mzalendo Warioba ambaye akiongezewa wajumbe 19 nayeye wawe 20 tutapata katiba mpya isiyo na mvutano. Kwanza tutakuwa tumeokoa fedha nyingi sana.

Kelele ni nyingi zisizojenga, hii katiba 1977 sidhani kama walitunga watu wengi kama ambavyo tunavutana.

WARIOBA ANATOSHA KUTULETEA RASIMU NAKUIPIGIA KURA, achana na bunge la katiba walishatuliza.
 
Kuna chama kinapenda dhulma. Hakitaki fair play!!
 
Kuna chama kinapenda dhulma. Hakitaki fair play!!
Kabisa, ni chama kilichopitwa na wakati, hivyo kwa sasa kinalazimisha kukaa madarakani kwa shuruti..
 
Back
Top Bottom