Kivumbi cup ya Wasafi media

Kivumbi cup ya Wasafi media

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Wasafi wameanzisha michuano ya mpira inayohusisha team za mitaani ambayo inaitwa kivumbi cup kwa lengo la kupata vijana wenye uwezo lakini pia ni sehemu ya vijana kujipatia kipato.Mshindi wa mashindano hayo atapata mil 20 wa pili mil 10 na watatu atapata mil 5, man of the match, mashabiki Bora, kipa Bora, mshambuliaji Bora, kiungo Bora, beki Bora wote watapata laki 5.

Mfano ukiwa man of the match Mara tano inamaana utapata mil 2.5 teyali utapata mtaji wa biashara.Lakini pia Wasafi wamesema wakipatikana vijana wenye umri chini miaka 18 wenye vipaji vikubwa watawatafutia team za nje ya nchi kwa majaribio.

Wazo la kuanzisha haya mashindano yalitoka wapi? Wakati diamond amekutana na etoo, e'too alimshauri diamond afungue accademy sports kwa ajili ya vijana diamond akaona aje na hiki kitu cos kitasaidia vijana kupata kipato at the same time watapata exposure cos hiyo michuano itarushwa live pia kutokana na yeye kuwa na connection pamoja na watu Kama edo kumwembe, maulidi kitengo na marafiki zake wa karibu watapata baadhi ya vijana fursa ya kuwatafutia team za nje za kuchezea.

Na siku ya Leo ndo Kuna draw ya kupanga team kwenye makundi baada ya kapatikana team 32 wanazotaka Wasafi kwenye hii michuano na itarushwa live WASAFI TV.
 
Wasafi Media ni Clone ya Clouds FM.

Wanaiga Kila Kitu. Takataka Kabisa

Fuxk the CopyCats !
Hakuna jipya chini ya jua kaka.Kaka kukopi inalipa na wewe kopi upige pesa.Kwanza mashindano haya ninkusaidia vijana.Kama ungekuwa unajua kucheza mpira na walau kupiga danadana 3 ungefurahia fursa kama hii.Mfamo timu moja ikachukua kivumbi cup 20 mil+10 mil za ndondo cup huoni hapo itasaidia kuinua timu za mitaani.Wachezaji kama wakina Iddi Nado wa Azam,kaseke wa Yanga,na wengine wengi wametoka kupitia ndondo cup.Kwa hiyo hiyo ni fursa kwa mchezaji mfano kama amecheza vizuri kivumbi hiki kisha akang'ara na kwenye ndondo lazima mtibwa,Azam,Namungo wakunyakue tu.Vipi kwa vijana chini ya miaka 18 nafasi wanazopata.Think beyond think twice.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna jipya chini ya jua kaka.Kaka kukopi inalipa na wewe kopi upige pesa.Kwanza mashindano haya ninkusaidia vijana.Kama ungekuwa unajua kucheza mpira na walau kupiga danadana 3 ungefurahia fursa kama hii.Mfamo timu moja ikachukua kivumbi cup 20 mil+10 mil za ndondo cup huoni hapo itasaidia kuinua timu za mitaani.Wachezaji kama wakina Iddi Nado wa Azam,kaseke wa Yanga,na wengine wengi wametoka kupitia ndondo cup.Kwa hiyo hiyo ni fursa kwa mchezaji mfano kama amecheza vizuri kivumbi hiki kisha akang'ara na kwenye ndondo lazima mtibwa,Azam,Namungo wakunyakue tu.Vipi kwa vijana chini ya miaka 18 nafasi wanazopata.Think beyond think twice.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora ulivyomuelewesha jamaa inaonekana ana upeo mdogo alafu pia WASAFI wametoa wigo wa vijana kupata kipato nje ya mshindi kupata mil 20, mchezaji ataeibuka man of the match atapata laki 5,kiungo Bora atapata laki 5, beki Bora atapata laki 5 na mchambuliaji Bora atapata laki 5.kwa maana Hiyo Kama kijana atashinda man of the match Mara tatu atapata mil 1.5 hiyo ni hela ya biashara teyali kwa maana hiyo ni michuano ambayo itamuongezea kijana kipato ukiachana na kupata exposure cos hii michuano itaruka live.
 
Clouds Tv ilipoanza vipindi vingi ilikopi EATV, Redio wasafi ilipoanza walikopi muda wa vipindi vya michezo kutoka EFM. Sasa wamekopi ndondo cup ya Clouds na kuiita Kivumbi cup halafu we unasema wazo kapata kwa Eto'o? Ahahaha. Ubunifu zero!
 
Clouds Tv ilipoanza vipindi vingi ilikopi EATV, Redio wasafi ilipoanza walikopi muda wa vipindi vya michezo kutoka EFM. Sasa wamekopi ndondo cup ya Clouds na kuiita Kivumbi cup halafu we unasema wazo kapata kwa Eto'o? Ahahaha. Ubunifu zero!
Diamond ni mwanamziki na sio mpenzi wa Mpira na hili sijui unalifahamu
 
Huelewi. Najua Dimond hahusiki sana na ubunifu wa vipindi, watu wake ndio shida
Na lengo la wasafi kuanzisha kivumbi cup ni kwaajili kuwapa vijana platform na kingine ni kuongeza vipato ndomaana wameweka mzigo mkubwa kuliko hata hao ndondo cup mshindi anapata mil 20 ukiachana na Hilo kiungo Bora anapata laki 5, man of the match anapata laki 5, kipa Bora anapata laki 5, beki Bora atapata laki 5 na mchambuliaji anapata laki 5 wewe uoni hii ni fursa especially kwa vijana wa kitaa na vijana wenye vipaji vikubwa wanachukuliwa kwaajili ya kuwapeleka nje ya nchi kwa majaribio especially vijana wadogo wenye umri chini ya miaka 18.
 
Back
Top Bottom