MoSantu Senior Member Joined Feb 26, 2022 Posts 173 Reaction score 167 Jul 31, 2022 #1 Habari zenu wana JF? Naomba mwenye muongozo au ufahamu wa kiwanda cha kuchakata kuku au sehemu kilipo kwa hapa Tz angalau nikapate Elimu ya uendeshaji, Bei za mashine na soko. NB: Kuku ninao zungumzia ni kisasa (Broiler)
Habari zenu wana JF? Naomba mwenye muongozo au ufahamu wa kiwanda cha kuchakata kuku au sehemu kilipo kwa hapa Tz angalau nikapate Elimu ya uendeshaji, Bei za mashine na soko. NB: Kuku ninao zungumzia ni kisasa (Broiler)
Godo JF-Expert Member Joined Apr 11, 2017 Posts 1,089 Reaction score 1,468 Jul 31, 2022 #2 Jaribu kwa Mr.kuku mkuu utapata pa kuanzia.
MoSantu Senior Member Joined Feb 26, 2022 Posts 173 Reaction score 167 Jul 31, 2022 Thread starter #3 Godo said: Jaribu kwa Mr.kuku mkuu utapata pa kuanzia. Click to expand... Mkuu si unajua Tatizo letu waswahili akijua unataka kufanya ishu kama yake anakubania.
Godo said: Jaribu kwa Mr.kuku mkuu utapata pa kuanzia. Click to expand... Mkuu si unajua Tatizo letu waswahili akijua unataka kufanya ishu kama yake anakubania.
Copy JF-Expert Member Joined Oct 10, 2016 Posts 1,055 Reaction score 1,341 Aug 4, 2022 #4 Interchick wanayo Ila Sijajua ni sehemu gani iko located.
binti kiziwi JF-Expert Member Joined Aug 4, 2014 Posts 11,201 Reaction score 28,642 Aug 4, 2022 #5 Copy said: Interchick wanayo Ila Sijajua ni sehemu gani iko located. Click to expand... Mwanza barabara ya kwenda kisesa, mkono wa kushoto, au sio wao wale?
Copy said: Interchick wanayo Ila Sijajua ni sehemu gani iko located. Click to expand... Mwanza barabara ya kwenda kisesa, mkono wa kushoto, au sio wao wale?