Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Hivi tuna mkakati wowote wa kufufua kiwanda cha kusafisha mafuta Kigamboni au Pengine kujenga kingine Kipya kule bandari yaTanga
Ili kiende sambamba na Ukamilishaji wa Mradi mkubwa wa Bomba la mafuta ghafi kutokea Uganda
Nauliza tu isijekuwa tuna subiri mafuta yapite hapa kwetu yaende Arabuni yakasafishwe halafu tuuziwe kwa bei karibia mara mbili
Naona kama hii ni zawadi kutoka kwa Mungu kwani kiwanda cha kusafisha mafuta ni cha gharama ya kawaida sana kulinganisha na viwanda vingine LABDA makadirio yaletwe kwa lengo la kupiga deal.
Wale waliosoma Chemistry vizuri watanielewa kuwa kusafisha mafuta ni process rahisi sana ni umaskini tu, tulitakiwa tungeneze kiwanda chetu wenyewe
Ili kiende sambamba na Ukamilishaji wa Mradi mkubwa wa Bomba la mafuta ghafi kutokea Uganda
Nauliza tu isijekuwa tuna subiri mafuta yapite hapa kwetu yaende Arabuni yakasafishwe halafu tuuziwe kwa bei karibia mara mbili
Naona kama hii ni zawadi kutoka kwa Mungu kwani kiwanda cha kusafisha mafuta ni cha gharama ya kawaida sana kulinganisha na viwanda vingine LABDA makadirio yaletwe kwa lengo la kupiga deal.
Wale waliosoma Chemistry vizuri watanielewa kuwa kusafisha mafuta ni process rahisi sana ni umaskini tu, tulitakiwa tungeneze kiwanda chetu wenyewe