Kiwanda kipya cha kusaga na kukoboa nafaka kilichopo Mbezi Luis DSM kinakodishwa. Kiwanda hiki kina machine za kusaga, kukoboa, na kupeta mahindi. Pia kina machine ya kushona mifuko/viroba.
Kina uwezo wa kusaga Tani moja kwa kila lisaa. Pia kuna godown/stoo ya kuhifadhi nafaka tani zaidi ya 300. Miundo mbinu mingine ni umeme wa 3 phase, water tank lita 20,000, office ya mauzo, na office ya meneja pamoja na, nyumba ya kulala wafanyakazi.
Jengo lina kibali cha TFDA na pia leseni stahiki zipo tayari.
Kama unahitaji, tuwasiliane kwa kupitia 0714432979
Kina uwezo wa kusaga Tani moja kwa kila lisaa. Pia kuna godown/stoo ya kuhifadhi nafaka tani zaidi ya 300. Miundo mbinu mingine ni umeme wa 3 phase, water tank lita 20,000, office ya mauzo, na office ya meneja pamoja na, nyumba ya kulala wafanyakazi.
Jengo lina kibali cha TFDA na pia leseni stahiki zipo tayari.
Kama unahitaji, tuwasiliane kwa kupitia 0714432979