Kiwanda cha Kutengeneza Maji

Kwe2 kuna wa2 wamepanda miti ya maparachichi na wameambiwa kitajengwa kiwanda cha kucndika ma2nda. je! unaweza kufika?
 
Acha Dar. Fungua sehemu ambayo kunapatikana matunda ambayo utakuwa unasindika. Utasafirisha bidhaa zako Dar. Kama unatafuta mtu wa ubia, niko interested.Nikiti ambacho nimekuwa ninakifikiria kwa muda. Badala ya kuwa rivals, tunaweza kuweka nguvu pamoja.
Email smwak01@hotmail.com
 

Mkuu naomba kujua icho kiwanda cha A1 kipo wapi au kama una contact zao naomba please
 

duh!
 

true
 
Sikuwahi kujua Kama ni gharama hivi maana nimechimba kisima na kina maji safi sana hayana chumvi kabisa nikawaza kwa baadae ninunue machine ya purifying nianze water bottling kumbe duh.....
 
Sikuwahi kujua Kama ni gharama hivi maana nimechimba kisima na kina maji safi sana hayana chumvi kabisa nikawaza kwa baadae ninunue machine ya purifying nianze water bottling kumbe duh.....

duh!
unammataji kiais gani?
kwanini watu wasichange mitaji yao?
 

Mkuu kimya hujibu msg mbona ?
 
Wakuu kiwanda kikisimama mambo ya maabara nitakuwepo kufanya hio kazi mpaka kukuza kiwanda chetu
@Pm kama nitahitajika
 
Hivi member wa jf wote hatuwezi tukaungana na kuchanga hela na tukafanya kitu + kwa maendeleo ya taifa letu jf ikawa na kitu cha kumbukumbu? Yaani inafunguliwa kiwanda kwa michango ya jf member,
 
Jamani zipo teknolojia mbali.bali. hata 100mil inatisha kuanza kazi
 
Mkuu naomba kujua icho kiwanda cha A1 kipo wapi au kama una contact zao naomba please
Njia rahisi mkuu kamata chupa sayona au maji poa soma pale chini utapata address....za watengenezaji watafute....wengi wanaanza kutengenez chupa kwa wengine.....issu ipo TFDA na TBS pamoja na wizara viwanda na ardhi....kote huko utasumbuka kidogo....hasa kubadili matumizi ardhi kuwa biashara kutoka makazi.....
 
hicho kiwanda cha A1 kipo wapi na fully name yake ni ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…