Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
Hivi unajua nchini Tanzania kuna kiwanda ambacho kinahusika na kutengeneza ndege, inaitwa Airplane Africa limited ni kampuni iliyopo Mazimbu mkoa wa morogoro ambayo inamilikiwa na wawekezaji toka Jamhuri ya Czech.
Ni kampuni ambayo inajihusisha na kutengeneza ndege za kubebea Abiria kuanzia wawili mpaka wa nne. Khatibu mkuu wizara ya Uchukuzi Profesa Godius Kahyrara amesema wizara yake itaongeza nguvu juu ya kampuni hii ili kuweza kuongeza ufanisi kwenye kuunda Ndege.
Kahyrara ametembelea kiwanda hicho leo jumanne ya tarehe 7 /11/2023 kwa kuongezea kuwa mafundi wanaofanya kazi kwenye kiwanda hicho wengi wao wamesoma chuo cha Usafirishaji (NIT)..
Hivyo ni muhimu kwa kiwanda hicho kwani kitasaidia sana kutoa Uzoefu kwa wanafunzi kutoka vyuo vikuu, vyuo vya kati na vyuo vya ufundi kuweza kujifunza mambo mengi kuhusu kutengeneza ndege nk..
Unafikiri Tanzania Inaweza kuingia kwenye soko la Ushindani kwa kuuza ndege kwenye mashirika au nchi nyingine?
Ni kampuni ambayo inajihusisha na kutengeneza ndege za kubebea Abiria kuanzia wawili mpaka wa nne. Khatibu mkuu wizara ya Uchukuzi Profesa Godius Kahyrara amesema wizara yake itaongeza nguvu juu ya kampuni hii ili kuweza kuongeza ufanisi kwenye kuunda Ndege.
Kahyrara ametembelea kiwanda hicho leo jumanne ya tarehe 7 /11/2023 kwa kuongezea kuwa mafundi wanaofanya kazi kwenye kiwanda hicho wengi wao wamesoma chuo cha Usafirishaji (NIT)..
Hivyo ni muhimu kwa kiwanda hicho kwani kitasaidia sana kutoa Uzoefu kwa wanafunzi kutoka vyuo vikuu, vyuo vya kati na vyuo vya ufundi kuweza kujifunza mambo mengi kuhusu kutengeneza ndege nk..
Unafikiri Tanzania Inaweza kuingia kwenye soko la Ushindani kwa kuuza ndege kwenye mashirika au nchi nyingine?