Jamani hili jambo limeniuma sana, kuna viwanda viwili vipo sehemu moja, kiwanda cha maji na juice na kiwanda cha kuku vipo Kibaha Visiga karibu na makazi ya binadamu vimekuwa vikisababisha kero kwa wakazi maana nzi ni wengi
Wizara husika ina maana hawalioni hili?
Wizara husika ina maana hawalioni hili?