Tetesi: Kiwanda cha Panasonic kufungwa kutokana na kujiendesha kwa hasara

Tetesi: Kiwanda cha Panasonic kufungwa kutokana na kujiendesha kwa hasara

MR MAJANGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2014
Posts
3,444
Reaction score
10,687
Kumekuwa na tetesi toka mwaka jana kwamba kiwanda kufungwa kufuatia kiwanda kujiendesha kwa hasara, sasa jana MD kutoka Panasonic japan kawatangazia wafanyakazi rasmi kuwa tarehe 9/2/2018 kiwanda kitafungwa rasmi na kufikia mwezi wa tatu wafanyakazi wote watakuwa wameshalipwa stahiki zao, kutokana na kiwanda kupata hasara walipunguza wafanyakazi hadi kufikia 200+, je hii hali ya viwanda kufa ni afya kwa uchumi wetu?,
 
Kumekuwa na tetesi toka mwaka jana kwamba kiwanda kufungwa kufuatia kiwanda kujiendesha kwa hasara, sasa jana MD kutoka Panasonic japan kawatangazia wafanyakazi rasmi kuwa tarehe 9/2/2018 kiwanda kitafungwa rasmi na kufikia mwezi wa tatu wafanyakazi wote watakuwa wameshalipwa stahiki zao, kutokana na kiwanda kupata hasara walipunguza wafanyakazi hadi kufikia 200+, je hii hali ya viwanda kufa ni afya kwa uchumi wetu?,
Uzi uko shallow, ujazie nyama
 
Nina ndugu yangu hapo anaitwa Mjombo Suye so inabidi tuanze kumtafitia kwingine
 
Kumekuwa na tetesi toka mwaka jana kwamba kiwanda kufungwa kufuatia kiwanda kujiendesha kwa hasara, sasa jana MD kutoka Panasonic japan kawatangazia wafanyakazi rasmi kuwa tarehe 9/2/2018 kiwanda kitafungwa rasmi na kufikia mwezi wa tatu wafanyakazi wote watakuwa wameshalipwa stahiki zao, kutokana na kiwanda kupata hasara walipunguza wafanyakazi hadi kufikia 200+, je hii hali ya viwanda kufa ni afya kwa uchumi wetu?,
Hahaha viwanda vya ukweli vinakufa,vinabaki viwanda vya kisiasa,ni kweli hatuna mahitaji ya betri?,kwanini wasifungue kiwanda kingine?,kuna shida awamu hii
 
Ni wapumbavu. Menejiment ni ya kishenzi.
Wangetskiwa wakiongeze na wabailike
Watengeneze hata taa za kuchaji etc.
Sasa wao wapo tu wanatengeneza mibetri hadi pleo hii shwaini
 
Biashara ya viwanda kwa africa ni ngumu sana kama mlisha wakaribisha wachina nchini kwao jiandae kisaikolojia, china imeteka soko lote la bidhaa zote africa

Tanzania kukifunguliwa kiwanda cha kutengeneza kitu flani wachina wanakuja na idea yao ya kitu kama hicho na wanakiboresha hadi unakuta unafunga kiwanda

Hawa panasonic wameshindwa kwenda kasi ya ushindani wa kibiashara lazma tu wafe
 
Panasonic super brand, nina redio yao hapa hata sielewi itaharibika lini....
Ilikuwa inaitwa National iyo dah roho ya paka baadaye Panasonic ikainunua, utadhani mjerumani. Halafu mchina alivyomshenzi akawa anatukonfyz Na Panasoanic.

Mjapan mshenzi JVC, Sony, Hitachi Na Panasoanic.

Ila kabaki kwenye camera Hana mpinzani Canon

Enz hizo kwenye pasi Ni mdachi Phillip
Fridge imara Sanyo
Film za picha Kodak Na fuji
 
Back
Top Bottom