FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
AiseeRadio
Pasi
Tochi
Nk
Wanatengeneza vitu imala sana ukishanunua haurudi tena ndo maana kinakufa wawe kama wachina ukinunua leo kesho unarudi tena
Kikifungwa ndiyo viwanda vyenyewe vinakuja
Ni wapumbavu. Menejiment ni ya kishenzi.
Wangetskiwa wakiongeze na wabailike
Watengeneze hata taa za kuchaji etc.
Sasa wao wapo tu wanatengeneza mibetri hadi pleo hii shwaini
Ni wapumbavu. Menejiment ni ya kishenzi.
Wangetskiwa wakiongeze na wabailike
Watengeneze hata taa za kuchaji etc.
Sasa wao wapo tu wanatengeneza mibetri hadi pleo hii shwaini
Tanzania tuna kiwanda cha Panasonic? Wanazalisha zile betri na feni au?
Kumekuwa na tetesi toka mwaka jana kwamba kiwanda kufungwa kufuatia kiwanda kujiendesha kwa hasara, sasa jana MD kutoka Panasonic japan kawatangazia wafanyakazi rasmi kuwa tarehe 9/2/2018 kiwanda kitafungwa rasmi na kufikia mwezi wa tatu wafanyakazi wote watakuwa wameshalipwa stahiki zao, kutokana na kiwanda kupata hasara walipunguza wafanyakazi hadi kufikia 200+, je hii hali ya viwanda kufa ni afya kwa uchumi wetu?,