Kiwanda cha rangi Billion Paints kinanyanyasa wafanyakazi, mpaka sasa hakuna mfanyakazi mwenye mkataba

Kiwanda cha rangi Billion Paints kinanyanyasa wafanyakazi, mpaka sasa hakuna mfanyakazi mwenye mkataba

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
Wana JF,

Nijambo la kusikitisha sana kuona kiwanda cha mzalendo kilichojizolea sifa kemikemi kufanya hujuma na kufanya unyanyasaji wa wafanyakazi kwa kiwango chajuu.

Mpaka sasa hakuna mfanyakazi anaijua kesho yake maana mwenye kiwanda anakuwa kana ana kichaa. Hadi kuna wakati anamfukuza hadi mke wake ambaye ni meneja wa kiwanda.

Menejiment ya kiwanda haipo kabisa, anayeonekana anaweza kucheza na umbea na majungu ndiye uwa boss wa wote kwa muda fulani. Kwa mwezi ashafukuza wafanyakazi 15 bila kuwalipa.

Wafanyakazi hawana muda wa kazi wala kulipwa masaa ya nyongeza. Wakati mwingine kama kuna order kubwa ulala kazini bila ya posho.

Serikali inayohusika itupie jicho kiwanda hiki, au boss achunguzwe kama ana ukichaa au magonjwa mtambuka basi hii ishakuwa taasisis watafute namna ya kuendesha kiwanda katika mutaza sahihi.

Kosa linafanyika maabara, mtu anafukuza hadi mlinzi. Masai mlinzi anashindwa kuwasha generator kesho hana kazi wakati kosa sio lake.

Kingine wachunguze orodha za wafanyakazi waliofukuzwa kama wanapata stahiki zao. Wachunguze kufanyosha kazi ngumu vibarua wanaotakiwa kuajiliwa kukaa muda mrefu wakiwa kwenye majaribio.
 
Kiwanda kipo wapi nani mmiliki wa hicho kiwanda...je wanaweza patikana hata wawili au watatu waliofukuzwa japo tuangalie wap pakuanzia.
Kiwanda kipo JKT Mbuyuni, unaweza sema salasala. Makonda aliwahi kupewa rangi pale. Taarifa nimepewa na mmasai aliyefukuzwa juzi jina nimesahau lakini inqsemekana ni mchaga

Screenshot_20220222-180124_Google.jpg
 
Kingine wachunguze orodha za wafanyakazi waliofukuzwa kama wanapata stahiki zao. Wachunguze kufanyosha kazi ngumu vibarua wanaotakiwa kuajiliwa kukaa muda mrefu wakiwa kwenye majaribio.
 
Menejiment ya kiwanda haipo kabisa, anayeonekana anaweza kucheza na umbea na majungu ndiye uwa boss wa wote kwa muda fulani. Kwa mwezi ashafukuza wafanyakazi 15 bila kuwalipa.
 
Mmiliki wa kiwanda ni mchaga wa machame, ni kijana tu....hata miaka 40 hajafika. Kiwanda kipo JKt kibaoni pembezoni mwa machimbo ya kokoto.

Niishie hapo maana hata mm binafsi nimewahi pelekeshana nae kwenye ishu fulani ya kibiashara, nimuhimu serikali kufwatilia swala hili.
 
Mmiliki wa kiwanda ni mchaga wa machame, ni kijana tu....hata miaka 40 hajafika. Kiwanda kipo JKt kibaoni pembezoni mwa machimbo ya kokoto.

Niishie hapo maana hata mm binafsi nimewahi pelekeshana nae kwenye ishu fulani ya kibiashara, nimuhimu serikali kufwatilia swala hili.
Katika suala kama hili ni vema ukamtaja mmiliki wake kwa sababu huna cha kupoteza!
 
Juz nilikuwa kariakoo kwenda kununua rangi msomali mmoja akanimbia kuwa kiwanda kimefungwa Kwan nilihitaji rangi za kampuni hyo ndio msomali akanijulisha kuwa kimefungwa
 
Nitajiridhisha hadi nisikie pia upande mwengine la sivyo ni porojo tu. Halafu aliyekusimulia ni mlinzi mmasaai aliyefukuzwa huenda alikuwa anaiba mafuta ya jenereta. Ila kwa uzoefu wangu sisi watanzania wengi kwenye kazi ni wezi, wavivu, wapigaji na majungu mengi ndo hulka yetu.

Na kama wewe ni mmiliki au bosi wa kiwanda ukaacha wakuzoee watakupanda hadi mabegani.

Mjerumani alitujua nakutuweza sana. Alikuwa anatembeza mboko balaa. Alikuwa na msemo wake mmatumbi bila mboko hasogei na aendelei kwa iyo ilikuwa mwendo wa kutandaza mboko.
 
Nitajiridhisha hadi nisikie pia upande mwengine la sivyo ni porojo tu. Halafu aliyekusimulia ni mlinzi mmasaai aliyefukuzwa huenda alikuwa anaiba mafuta ya jenereta. Ila kwa uzoefu wangu sisi watanzania wengi kwenye kazi ni wezi, wavivu, wapigaji na majungu mengi ndo hulka yetu. Na kama wewe ni mmiliki au bosi wa kiwanda ukaacha wakuzoee watakupanda hadi mabegani.

Mjerumani alitujua nakutuweza sana. Alikuwa anatembeza mboko balaa. Alikuwa na msemo wake mmatumbi bila mboko hasogei na aendelei kwa iyo ilikuwa mwendo wa kutandaza mboko.
Usilete ushabiki na kusingizia watu wizi, mpaka sasa mke wake naye kafukuzwa yupo mbezi, hadi mke wake huwa anapigwa makofi mbele ya wafanyakazi wake.

Masai ni kielelezo tu nimesema wamefukuzwa 15 kwa sasa. Huyu jamaa ni kweli ni kijana sana ana mihemuko ya pesa. Pamoja na bahati ya rangi yake kuwa chini ya bei sana lakini atende haki, kiwanda kiendane na mishahara na malipo ya ziada. Sijui OSHA, wako wapi?

Watu wanaumia wewe unacheka na unakuja na hoja nyepesi wakati watu wenye elimu zao wanafukuzwa kama mbwa.
 
Juz nilikuwa kariakoo kwenda kununua rangi msomali mmoja akanimbia kuwa kiwanda kimefungwa Kwan nilihitaji rangi za kampuni hyo ndio msomali akanijulisha kuwa kimefungwa
Akijafungwa na hisi anakiendesha kiwizi wizi maana hakuna mwenye ajira bali wafanyakazi wake wote wanaishi kwa posho za muda mrefu bila kuajiriwa eti wapo kwenye majaribio.
 
Back
Top Bottom