Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,013
- 1,183
Habari za muda huu walipa kodi wa wakati wote !
Naomba kutoa wazo moja tu. Hivi hii nchi hatuwezi kuwavutia wawekezaji katika nchi yetu hususani maeneo ya Majiji mfano; Mwanza, Arusha, Dar es Salaam, Tanga na Mbeya. Mtuletee Viwanda vya Uji sio unga lishe wa uji hapana.
Bidhaa hizo ziwe kwenye muundo wa aina mbili tu;
1. Uji powder
2. Uji liquid
Yaani ukiweka kwa jiko dakika chache kitu hiking hapa. Pia waweke na ladha mbalimbali mfano; Ndizi, Kokoa, Nazi, Karanga, Maziwa nk
Jamani mtuletee mavyakula ya viwanda watanzania sisi. Sio tuangaike kutafuta pesa; mpaka kupika tuhangaike jamani.
Karibuni.
Naomba kutoa wazo moja tu. Hivi hii nchi hatuwezi kuwavutia wawekezaji katika nchi yetu hususani maeneo ya Majiji mfano; Mwanza, Arusha, Dar es Salaam, Tanga na Mbeya. Mtuletee Viwanda vya Uji sio unga lishe wa uji hapana.
Bidhaa hizo ziwe kwenye muundo wa aina mbili tu;
1. Uji powder
2. Uji liquid
Yaani ukiweka kwa jiko dakika chache kitu hiking hapa. Pia waweke na ladha mbalimbali mfano; Ndizi, Kokoa, Nazi, Karanga, Maziwa nk
Jamani mtuletee mavyakula ya viwanda watanzania sisi. Sio tuangaike kutafuta pesa; mpaka kupika tuhangaike jamani.
Karibuni.