William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Cadena alipoachiwa timu nikajua madhaifu yake makubwa.
Mechi ya kwanza timu ilicheza na asec. Wachezaji walikuwa wamejeruhiwa misuli na mazoezi ya ovyo na magumu. Walicheza dk 40 tu wakachoka haswa.
Toka alipoingia Simba viwango vya makipa viliisha kabis. Sio Ayoub, Aly Salumu na Yule mbrazili hakifiti. Na ndivyo hali ilivyokuwa aakiwa Azam.
Nilimfata inbox baada ya gemu ya Asec kumwambia asichoshe wachezaji akaniblock. Asifananishe wachezaji wa simba kama wa Man U. Apunguze kuwarusha makipa.
Ayob alikuwa hawezi kuruka kwenye gemu akawa mzitooo.
Eti mechi ya Asec kweli ngoma na kapombe ni wakushindwa kutuliza mpira. Aliwakimbiza kama under 17.
Kama simba inataka mabadiliko + pamoja na mazoezi yake ya YouTube Cadena hafai kuwa kocha wa makipa
Mechi ya kwanza timu ilicheza na asec. Wachezaji walikuwa wamejeruhiwa misuli na mazoezi ya ovyo na magumu. Walicheza dk 40 tu wakachoka haswa.
Toka alipoingia Simba viwango vya makipa viliisha kabis. Sio Ayoub, Aly Salumu na Yule mbrazili hakifiti. Na ndivyo hali ilivyokuwa aakiwa Azam.
Nilimfata inbox baada ya gemu ya Asec kumwambia asichoshe wachezaji akaniblock. Asifananishe wachezaji wa simba kama wa Man U. Apunguze kuwarusha makipa.
Ayob alikuwa hawezi kuruka kwenye gemu akawa mzitooo.
Eti mechi ya Asec kweli ngoma na kapombe ni wakushindwa kutuliza mpira. Aliwakimbiza kama under 17.
Kama simba inataka mabadiliko + pamoja na mazoezi yake ya YouTube Cadena hafai kuwa kocha wa makipa