Ni ukweli usiopingika kuwa kwa miaka mingi ya hivi karibuni katika ligi yetu hapa Tz ukizungumzia kiungo bora na wa kiwango cha juu lazima umtaje chama, amekuwa kwenye ubora kwa muda mrefu japo kuna kipindi ameonekana kushuka viwango hasa baada ya kurejea Simba kwa mara ya pili, vilevile amekuwa akiingia kwenye mgogoro na uongozi wa timu yake na kuleta sintofahamu.
Baada ya timu ya Yanga kumuibua Pacome ikaonekana huyu ndie kiungo anayeweza ku challenge umaarufu wa Chama, na hakina Pacome ameonyesha viwango vikubwa sana katika ligi ya Tz na ligi za kimataifa (Caf). Na kwa muda mfupi jina la Pacome limekuwa ndio habari ya mjini.
Kwa maoni yangu ni kwamba UBORA WA CHAMA UMECHANGIWA NA MAMBO MAWILI
1. Trending ya PACOME
2. Kujisafisha kwa uongozi na wanachama wa Simba kutokana na tuhuma alizokuwa anahusishwa nazo.
NB:
Inaonekana huenda tuhuma za kuihujumu klabu ilipocheza na Yanga zikawa zina ukweli mkubwa. Ninaamini hivi maana Chama aliyecheza na Yanga ni tofauti kabisa na huyu tunayemuona sasa.
Adios Amigo
Baada ya timu ya Yanga kumuibua Pacome ikaonekana huyu ndie kiungo anayeweza ku challenge umaarufu wa Chama, na hakina Pacome ameonyesha viwango vikubwa sana katika ligi ya Tz na ligi za kimataifa (Caf). Na kwa muda mfupi jina la Pacome limekuwa ndio habari ya mjini.
Kwa maoni yangu ni kwamba UBORA WA CHAMA UMECHANGIWA NA MAMBO MAWILI
1. Trending ya PACOME
2. Kujisafisha kwa uongozi na wanachama wa Simba kutokana na tuhuma alizokuwa anahusishwa nazo.
NB:
Inaonekana huenda tuhuma za kuihujumu klabu ilipocheza na Yanga zikawa zina ukweli mkubwa. Ninaamini hivi maana Chama aliyecheza na Yanga ni tofauti kabisa na huyu tunayemuona sasa.
Adios Amigo