Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ana shahada ya kwanza ya fasihi,kutoka chuo kikuu cha nairobiMwenye kufahamu kiwango cha juu cha ELIMU ya aliyekua Naibu Rais Kenya Rigathi Gachagua tafadhali.
Ukimsikiliza matamshi yake Kuna kitu utang'amua
Fasihi gani halijui tafsida!?ana shahada ya kwanza ya fasihi,kutoka chuo kikuu cha nairobi
AiseeFasihi gani halijui tafsida!?
ndio hivyo ila kasoma vizuri tuFasihi gani halijui tafsida!?
Mropokaji anakosa diplomacy na decorum!Tuambie kwanza wewe uling'amua nini ulipomsikiliza
ni kweli ni mpuuziMropokaji anakosa diplomacy na decorum!
unawaza kwa kutumia kichwa au makalio?Tuambie kwanza wewe uling'amua nini ulipomsikiliza
Viongozi wengi wa Kenya wana elimu nzuri tu. Siyo kama hapa kwetu Bongo unakuta kuna viongozi wenye Phd lakini uwezo hawana. Mjajadiliano ya ma-bunge yaliyofanywa yanaonyesha kabisa hawa watu wako level nyingine. Tanzania wabunge wenye uwezo wa kuingia Bunge la Kenya na wakafanya mjadala ni wachache sana.Mwenye kufahamu kiwango cha juu cha ELIMU ya aliyekua Naibu Rais Kenya Rigathi Gachagua tafadhali.
Ukimsikiliza matamshi yake Kuna kitu utang'amua