Kiwango cha Kusajiliwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) chaongezeka

Kiwango cha Kusajiliwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) chaongezeka

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
usjili wa VAT.jpg
 
Hapo sawa mauzo ya mln 100 kwa mwaka ni kawaida sana miaka hii hata kwa biashara za kawaida sana zisizo na sifa ya VAT, mln 200 si haba

Hongereni nafikiri mmeangalia pia kushuka kwa thamani ya shilingi na kupanda kwa bei za bidhaa
 
Back
Top Bottom