Cash Generating Unit JF-Expert Member Joined Jan 12, 2019 Posts 13,286 Reaction score 39,418 Aug 1, 2023 #2 Mnaita watu lini kwenye interview?
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Aug 1, 2023 #3 Asante kwa taarifa Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mwamuzi wa Tanzania JF-Expert Member Joined Apr 7, 2020 Posts 15,486 Reaction score 45,256 Aug 1, 2023 #4 Hii nzuri. Milioni 4 hata mama nitilie na mshona viatu mauzo ya milioni 4 kwa mwaka wanafikia
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,111 Reaction score 53,092 Aug 1, 2023 #5 Hapo sawa mauzo ya mln 100 kwa mwaka ni kawaida sana miaka hii hata kwa biashara za kawaida sana zisizo na sifa ya VAT, mln 200 si haba Hongereni nafikiri mmeangalia pia kushuka kwa thamani ya shilingi na kupanda kwa bei za bidhaa
Hapo sawa mauzo ya mln 100 kwa mwaka ni kawaida sana miaka hii hata kwa biashara za kawaida sana zisizo na sifa ya VAT, mln 200 si haba Hongereni nafikiri mmeangalia pia kushuka kwa thamani ya shilingi na kupanda kwa bei za bidhaa