ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Tukiachana na mambo mengine kiukweli kiwango cha kipa wa simba Aishi Manula kimeshuka sana ,amekuwa akifungwa magoli ya ajabu ajabu na kuighalimu timu.
Hata lile goli la pili lililo fungwa na Raja kwa kipa ambaye yuko makini hakusihili kufungwa goli kama hilo.
Hata lile goli la pili lililo fungwa na Raja kwa kipa ambaye yuko makini hakusihili kufungwa goli kama hilo.