<br />Samahani kwa kuwa out of topic...waliopata mikopo wameshatangazwa?
<br /><br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
mkuu tena kabla hujachek jina piga sala vizuri, cz hyo mikopo ilivyotolewa wazaz wako watakufa kwa pressure.
<br />Duh, wamenipa 3,475,500.00 coz inaitaji 1,300,000 per year..hata mimi sielewi wamepigaje mahesabu, ni kwa mwaka au miaka mitatu!
<br /><br />
<br /><br />
hiyo ni kwa mwaka hapo kuna meal and accomodation
<br />Thanx mate. Hata mimi nadhan hivyo hivyo
<br />mmesoma st st mnadhan mtapata mikopo
sasa mkuu wale ambao wamekosa mkopo ina maana na meal allowance na accomodation hawapati?hiyo ni kwa mwaka hapo kuna meal and accomodation
<br />sasa mkuu wale ambao wamekosa mkopo ina maana na meal allowance na accomodation hawapati?