Kiwango cha mkopo ni kwa mwaka au miaka yote

waliopata 100% ni wacourse za uwalimu wa sayansi na mathematic pamoja wacourse za udaktar na uhuguz ,course nyingine 50%
 
Sasa hiyo ela iliyoandikwa ni ya mwaka au miaka 3? Ni ya ada tu au pamoja na accomdtn and meal?
 
<br />
<br /
sasa mpendwa ina maana hata boom hakuna??? And nivp sasa manake serikali za wanafunzi chuoni hazipo hao 2liokosa nan atatusaidia
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /<br />
sasa mpendwa ina maana hata boom hakuna??? And nivp sasa manake serikali za wanafunzi chuoni hazipo hao 2liokosa nan atatusaidia
<br />
<br />
ndugu huonji hata cent unakua ni full private mi nadhani kila chuo kina leadership ya students mi nilisoma udsm daruso hua wanasaidia sana watu pia kuna jamaa anaitwa Bush pale office no.105 UTAWALA za udsm anayehusiana ya mikopo tuu, kwa udsm kama una vigezo ni rahisi kupata but kama upo mbali na dar ni mlolongo mrefu.
 
Kidogo mkuu (GHANI) umenipa matumaini kwasababu hii ni mara ya tatu kwangu tangu nianze kuomba na kudahiliwa vyuoni kwani mwaka 2006/7 nilipata Udahili IFM information Tech. Nikakosa mkopo ckwenda chuo, 2009/10 nilipata KIU HRM baada ya kukaa miaka miwili ckupata mkopo ckwenda na tena mwaka huu nimepata UDSM B.OF COM IN HRM hakuna mkopo nashindwa kuelewa inakuaje ninanyimwa mkopo ikiwa cfa wazitakazo ninazo f4 div II, F6 div I na kwa takribani miaka 5 cjakwenda chuo kwa kukosa fedha hii imekaaje? Ila naelekea kufarijika kutokana na post ya mkuu G.
 
wakuu heb mweny info za kutosha atuweke bayana juu ya hz fedha,je wametoa kwa mwaka mzima au kwa semista?maana naona hali ni tete sn.na km itakuwa kwa mwaka mzm je ni pamoja na twishen fee au hz mfuko wake mwengne?
 

hebu rudia kufanya hesabu maana figa ya boom kwa mwaka umekosea, siyo 180,000. bali ni 1,800,000
pamoja na hayo bado utata upo.
 
<br />
<br />
nilisoma sua, kuna dada mmoja anafatlia mikopo. Huwa wapo serious sana.
 
<br />
<br />
sijakupata. Ina maana tayari mmeshawekewa hela?. Sikuelew kabisa.
 
Fanya 8000 (meal&amp;acc) * siku 240 (2sms) mwaka1 ,inayoongezeka hapo ndo ada ya masomo yako kwa mwaka hapo chuoni...right??
<br />
<br />
sio 8000 ni 7500 soma hotuba ya bajeti ya Wizara ya Elimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…