The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Ni wachezaji wachache sana wanaoweza kurudisha kiwango chao hasa waliotumika mda mrefu
Huyu jamaa msimu uliopita alikuwa na wakati mbaya sana. Na kwa kweli mashabiki walikuwa wameshapoteza matumaini kwake.
Chini ya kocha mpya kapombe yule wa.kipindi kileee tunamwoma tena V pass.kama kawa ..anapamda anashuka. Vizuri tu.
Je alikwama.wapi. au alikuwa na wachezaji wabovu akashindwa kung'ara.mda.wote.walikuwa wanashambuliwa.na akaonekna kichochoro
Huyu jamaa msimu uliopita alikuwa na wakati mbaya sana. Na kwa kweli mashabiki walikuwa wameshapoteza matumaini kwake.
Chini ya kocha mpya kapombe yule wa.kipindi kileee tunamwoma tena V pass.kama kawa ..anapamda anashuka. Vizuri tu.
Je alikwama.wapi. au alikuwa na wachezaji wabovu akashindwa kung'ara.mda.wote.walikuwa wanashambuliwa.na akaonekna kichochoro