Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Nauza Kangala huku nafundisha huu mwaka wa kumi. Wateja wangu wakubwa ni walimu wenzangu. Huwa tunapiga Kangala na tunachanganya na pombe kali za bei rahisi ili kupata stimu.
Lakini tupo vizuri. Tunapiga kazi na wato wanafaulu. Ni kweli asubuhi huwa harufu inatema ila tunakuwa hatujalewa. Ni harufu tu ila ulevi unakuwa unaisha. Tukinywa maji asubuhi harufu kama perfumu ya miwa mdomoni.
Sasa ni katika hali gani ambapo mtasema temeshindwa kazi maana tunahudhuria kila siku na kazi tunafanya?
Lakini tupo vizuri. Tunapiga kazi na wato wanafaulu. Ni kweli asubuhi huwa harufu inatema ila tunakuwa hatujalewa. Ni harufu tu ila ulevi unakuwa unaisha. Tukinywa maji asubuhi harufu kama perfumu ya miwa mdomoni.
Sasa ni katika hali gani ambapo mtasema temeshindwa kazi maana tunahudhuria kila siku na kazi tunafanya?