Kiwango kikubwa cha Kansa kanda ya Ziwa kiangaliwe

Sawa mjuaji

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hao Wamarekani walikukosea Nini mkuu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha hivi unawajua wachina vizuri? Wanachokitaka ni Mali tu usifikiri wana utu au huruma na wewe au na nchi yako. Hata wewe hapo nakuhakukishia unaangalia fursa na faida utakayopata tusidanganyane huwezi kufanya biashara isiyo na faida au maslahi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwani wewe unaweza kufanya biashara isiyokua na faida au maslahi kwako? Kanunue unga sh 2000 kilo uje utuuzie sh 1800 Kwa kilo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nategemea uzinduzi wa siasa za majukwaani kanda ya Serengeti hapo musoma wale kina heche and company ndiyo uwanja wenu huo kusemea hili.

Yaani muda huu kabla mfanye utafiti kwa kusima na kufuatilia abcd... za taarifa za ndani kuhusu hili tatizo then muwaeleze wananchi, ili wajue why serikali yao imeamua kuwapa kisogo.

🔸Kutoooooka mkoani maaaraaa mimi niiiiii joojiiii maraaaato wa aitiviiiii.
 
Kwani wewe unaweza kufanya biashara isiyokua na faida au maslahi kwako? Kanunue unga sh 2000 kilo uje utuuzie sh 1800 Kwa kilo

Sent from my TECNO F1 using
Sijawakataza mfanye biashara. Ila msituzuge na vistori vyenu. Nenda straight kwenye point kama wachina, we need uranium tutawajengea barabara na nyie tupeni Selous Reserve tuchimbe Uranium. Wamarekani watakuja na viNGOs eti vya kulinda tembo wasiwindwe na majangiri kumbe ajenda yao ni aidha kumzuia China au kufanya mambo yao wanayoyajua wenyewe. Tukistuka mnang'aka.
 
kuna haja ya kufuatilia
 


Nashukuru wanaanza kuangalia

 
kuna haja ya kufuatilia

Ndiyo wameanza kushutuka!!

 

 


Naona Heche anakubaliana na mimi


View: https://youtu.be/FTXbKSYQp0E?si=L6Fru5wi-BZQkeyE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…