Naomba kufahamu kiwango sahihi cha pombe kinachokubalika kwa siku iwe bia, konyagi, wine, whisky nk.
Mimi huwa napenda sana konyagi na nakunywa kila siku kiwango changu ni konyagi ndogo 200mls napata na club soda mbili nakunywa kwa masaa matatu baada ya kazi kuanzia saa moja mpaka saa nne nachangamka kiasimnakwenda nyumbani naoga nakula vizuri balanced diet asubuhi naamka vizuri sana.
Je, nipo sahihi?
Mimi huwa napenda sana konyagi na nakunywa kila siku kiwango changu ni konyagi ndogo 200mls napata na club soda mbili nakunywa kwa masaa matatu baada ya kazi kuanzia saa moja mpaka saa nne nachangamka kiasimnakwenda nyumbani naoga nakula vizuri balanced diet asubuhi naamka vizuri sana.
Je, nipo sahihi?