kiwanja (ardhi) ktk eneo la misugusugu kinauzwa

Kilimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
777
Reaction score
194
hiki ni kiwanja kilichopo maeneo ya Misugusugu - KIBAHA upande wa kushoto kama unaelekea DSM.

umbali:- ni kilometa 1 toka morogoro road ukubwa:- ni ekari 2 (na inazidi kidogo)

hati/offer: hakina (hakijapimwa)

bei: Tshs Milioni 18 ( hakuna dalali)

NB: kipo karibu na bomba kuu la maji umbali karibia mita 50 hivi na ni kandokando mwa barabara itokayo bagamoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…