Ramon Abbas JF-Expert Member Joined May 4, 2021 Posts 1,964 Reaction score 3,913 May 27, 2021 #1 Kiwanja kinauzwa jijini Mwanza. Wilaya: Nyamagana Kata: Mhandu Mtaa: Kisiwani (Karibu na shule ya sekondari Mhandu) Kiwanja kimepimwa na kina hati kamili ya umiliki. Size: 30 kwa 30 (hatua za miguu za mtu mzima. Kina tripu 4 za mawe. Kimezungushiwa fensi. Umeme na maji vipo. Fensi ilishajengwa na njia ya kuelekea ndani inaonekana MHANDU NI ENEO LILILOJENGEKA VIZURI (NYUMBA ZA KISASA) na kumetulia. Bei: milioni 20 Mawasiliano: 0683011003
Kiwanja kinauzwa jijini Mwanza. Wilaya: Nyamagana Kata: Mhandu Mtaa: Kisiwani (Karibu na shule ya sekondari Mhandu) Kiwanja kimepimwa na kina hati kamili ya umiliki. Size: 30 kwa 30 (hatua za miguu za mtu mzima. Kina tripu 4 za mawe. Kimezungushiwa fensi. Umeme na maji vipo. Fensi ilishajengwa na njia ya kuelekea ndani inaonekana MHANDU NI ENEO LILILOJENGEKA VIZURI (NYUMBA ZA KISASA) na kumetulia. Bei: milioni 20 Mawasiliano: 0683011003
Ramon Abbas JF-Expert Member Joined May 4, 2021 Posts 1,964 Reaction score 3,913 May 27, 2021 Thread starter #2 Huu ni uelekeo wa kuingilia ndani ya kiwanja Nyumba yenye fensi kushoto mwanzo huyo ni jirani Kwa mbele kidogo kuna mlango huo ndio mlango wa kuingilia kiwanjani
Huu ni uelekeo wa kuingilia ndani ya kiwanja Nyumba yenye fensi kushoto mwanzo huyo ni jirani Kwa mbele kidogo kuna mlango huo ndio mlango wa kuingilia kiwanjani
Ramon Abbas JF-Expert Member Joined May 4, 2021 Posts 1,964 Reaction score 3,913 May 27, 2021 Thread starter #3 Picha zaidi. Huu msingi ndio mpaka wa kiwanja. Ukuta wake unaonekana kwa mbele kule
Ramon Abbas JF-Expert Member Joined May 4, 2021 Posts 1,964 Reaction score 3,913 May 27, 2021 Thread starter #4 Piga simu 0683011003 tufanye biashara
Ramon Abbas JF-Expert Member Joined May 4, 2021 Posts 1,964 Reaction score 3,913 May 27, 2021 Thread starter #5
Ramon Abbas JF-Expert Member Joined May 4, 2021 Posts 1,964 Reaction score 3,913 May 27, 2021 Thread starter #6
Chillah JF-Expert Member Joined Oct 12, 2016 Posts 8,870 Reaction score 10,066 May 27, 2021 #7 Pesa ufananishwe na nn mweee?
Ramon Abbas JF-Expert Member Joined May 4, 2021 Posts 1,964 Reaction score 3,913 May 27, 2021 Thread starter #8 Chillah said: Pesa ufananishwe na nn mweee? Click to expand... Karibu sana mkuu. Tunakutafutia kiwanja kwa gharama nafuu
Chillah said: Pesa ufananishwe na nn mweee? Click to expand... Karibu sana mkuu. Tunakutafutia kiwanja kwa gharama nafuu
Bemendazole JF-Expert Member Joined Nov 14, 2020 Posts 2,649 Reaction score 6,680 May 27, 2021 #9 Akyanani! Ukiwa maskini, Mwanza hujengi.
Ramon Abbas JF-Expert Member Joined May 4, 2021 Posts 1,964 Reaction score 3,913 May 27, 2021 Thread starter #10 Bemendazole said: Akyanani! Ukiwa maskini, Mwanza hujengi. Click to expand... Mkuu sio mwanza yote ina viwanja bei ghali hivyo. Angalia eneo kiwanja kilipo Angalia kimeshajengewa msingi na ukuta Angalia kuna mawe ndani. Kina hati tayari. Hizi ni factors zilizoathiri bei Bei haiwezi kuwa sawa na kiwanja plain. Kuna maeneo kama kakebe, kisesa, fumagila, kishiri, nyanama, unapata viwanja chini ya milioni 5.
Bemendazole said: Akyanani! Ukiwa maskini, Mwanza hujengi. Click to expand... Mkuu sio mwanza yote ina viwanja bei ghali hivyo. Angalia eneo kiwanja kilipo Angalia kimeshajengewa msingi na ukuta Angalia kuna mawe ndani. Kina hati tayari. Hizi ni factors zilizoathiri bei Bei haiwezi kuwa sawa na kiwanja plain. Kuna maeneo kama kakebe, kisesa, fumagila, kishiri, nyanama, unapata viwanja chini ya milioni 5.