Plot4Sale Kiwanja cha kujenga hoteli kinauzwa Dodoma

Plot4Sale Kiwanja cha kujenga hoteli kinauzwa Dodoma

steven13

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
341
Reaction score
178
KIWANJA KIZURI KWA BEI YAKUTUPA
_______
MAHALI-MEDELI WEST (MTAA WA SHOPPERZ/MORENA)
_______
UKUBWA-1698Sqm
_______
BEI-200M (FIXED)
________
MALIPO YA DALALI-10% (UNALIPA MTEJA)

0622111186/0767833496

INSTAGRAM @dalali_goodneighbour_dodoma
IMG_5008.jpg



KWA WASIOPAFAHAMU

NB-MTAA HUU KUNA KUMBI ZA SHEREHE/MIKUTANO KAMA LEVANDA HALL,MABEYO HALL,NK

KUNA HOTELS MBALI MBALI KAMA NASHERA,MORENA HOTEL

SHOPPERZ,GOLDEN FOLK

MITA CHACHE KUTOKA OFISI KAMA BOT,NHIF,TAKWIMU HOUSE,JUDICIARY,KAMBARAGE TOWER,UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE
IMG_5009.jpg

IMG_5010.jpg
 
Wewe uza kiwanja. Sio kazi yako kumpangia mnunuzi ajenge nini as long as ana-meet matumizi ya eneo hilo.
 
Hiyo 10% si uchukue kwa uliemtafutia mteja/muuzaji
 
Hiyo 10% si uchukue kwa uliemtafutia mteja/muuzaji
Ha ha ha! Huwa wanahisi mnunuzi ndiye mwenye shida; uniuzie halafu nilipie gharama za wewe kuniuzia; stupid! By the way, huwa wanapiga kote kote 10% x 2 = 20%.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Ha ha ha! Huwa wanahisi mnunuzi ndiye mwenye shida; uniuzie halafu nilipie gharama za wewe kuniuzia; stupid! By the way, huwa wanapiga kote kote 10% x 2 = 20%.
Wengi wa madalali wana tamaa
Imagine mtu hata aibu haoni anakwambia 10% unalipa halafu anamfata mmiliki nae ampe chake
Yaani dalali kwenye 200M yeye anabeba 40M au zaidi
Shame on them
 
Back
Top Bottom