Kiwanja cha mpira kinachukua watu wangapi kwenye show

Kiwanja cha mpira kinachukua watu wangapi kwenye show

Allydasmartboy001

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2018
Posts
604
Reaction score
218
Hivi ili uwanja ujae unaweza chukua hadi watu wangapi maana tunaubishano me nilikuwa na sema uwanja unaweza chukua hata watu lak 1 kuna mwngine ana bisha sasa nimekuja kwenu kwa mtu anayejua ili nijue je uwanja hauwezi chuo watu lak 1( nazungumzia viwanja vya nchi mfano samora au cha kahama).

N:B
Hapa nazungumzia kipindi cha show yaani msaani akiwa anaperform mfano alikiba au diamond na kadhalika
 
kwenye show ni tofaut na wakati wa mechi za soka...kwenye shoo watu hujaa pale mbele tu..usidanganyike na mbwembwe
 
Back
Top Bottom