Bado hakijafunguliwa, subiri kifunguliwe kwanza ndio utapata jibu la swali lako
Bado hakijafunguliwa/hakijazinduliwa.Acha uongo huo mbona ndege zinatua mpaka marais wa inchi za nje tayari wametua hapo au una maanisha bado hawajafanya show ?
Bado hakijafunguliwa/hakijazinduliwa.
Ulishawahi kusikia au kuona ATCL inafanya safari za Chato kama safari za Mwanza, Dodoma, Songwe, Kilimanjaro?
Ndio namaanisha hivyo...kama unazungumzia safari za ATCL za Chato za kibiashara hapo sina uhakika kama hilo linafanyika au laa
Acha utani basi mkuuNdege wanaotua hapo ni bundi, popo, kwale, bayuwayu, kweleakwelea.
HahhahaahahahahahahahhaHah nimechekaaa🤣🤣🤣leo sitacheka Tena dah...uwiii🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mchuma janga hula na wa kwao unachokitafuta utakipata ova