ngarawatch
Member
- Jun 26, 2024
- 24
- 14
Baraza za Ardhi na Nyumba limetoa amri ya kuchukuliwa kiwanja cha michezo na mapumziko cha Shule ya msingi Mukirehe iliyoko wilayani Ngara.
Kufuatia uamuzi huo, aliyeshinda kwenye shauri hilo, amejenga uzio kuzuia wanafunzi kutumia kiwanja cha shule hiyo iliuyanza zaidi ya miaka 40 iliyopita.
Mmiliki wa sasa wa eneo hilo anayetajwa kwa jina la Leah Semuguruka, kupitia kampuni ya udalali ya Shushana Services Co Ltd , 21/02/2024, kwenda kwa serikali ya kijiji cha Mukirehe kukabidhi eneo hilo.
Makala ya barua hiyo imenukuliwa kwa OCD wa wilaya ya Ngara, ilitaka eneo hilo kukabidhiwa ndani ya siku 14 tangu tarehe ya kutolewa kwa barua hiyo.
Uongozi wa wilaya ya Ngara kama kawaida wanashughulikia masuala muhimu zaodi ikiwa ni pamoja na siasa za kuelekea uchaguzi mkuu ambapo majina makubwa yanatajwa kulitaka jimbo hilo kutoka kwa mbunge wa sasa Ndayisaba Ruhoro.
Kufuatia uamuzi huo, aliyeshinda kwenye shauri hilo, amejenga uzio kuzuia wanafunzi kutumia kiwanja cha shule hiyo iliuyanza zaidi ya miaka 40 iliyopita.
Mmiliki wa sasa wa eneo hilo anayetajwa kwa jina la Leah Semuguruka, kupitia kampuni ya udalali ya Shushana Services Co Ltd , 21/02/2024, kwenda kwa serikali ya kijiji cha Mukirehe kukabidhi eneo hilo.
Makala ya barua hiyo imenukuliwa kwa OCD wa wilaya ya Ngara, ilitaka eneo hilo kukabidhiwa ndani ya siku 14 tangu tarehe ya kutolewa kwa barua hiyo.
Uongozi wa wilaya ya Ngara kama kawaida wanashughulikia masuala muhimu zaodi ikiwa ni pamoja na siasa za kuelekea uchaguzi mkuu ambapo majina makubwa yanatajwa kulitaka jimbo hilo kutoka kwa mbunge wa sasa Ndayisaba Ruhoro.