Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mjenzi?Hakitoshiiiii
Hii tamu ngoja nikajenge.Kikubwa sana icho!! Hicho changu 190 natoa apartment 2 na frem za maduka tatu na parking ya gari mbili
Ghalama inategemea na eneo ulilopo! Mpe kazi fundi akupigie hesabuHii tamu ngoja nikajenge.
Gharama inakuwaje hapa
Anyone can do math, wala haihitaji uwe mjenzi!Wewe ni mjenzi?
Sio kweliAnyone can do math, wala haihitaji uwe mjenzi!
wewe utakuwa H kunani, mtu yoyote anayejua hesabu hawezi kuanzisha uzi kama huu. (narudia anaejua hesabu).Sio kweli
kama ulivyo wewe.wewe utakuwa H kunani
Kuna kitu nimekupata kwa maneno yako.kama ni kwa makazi ya familia kiwanja cha ukubwa huo ni cha mabanda labla kwa CBD areas where you can build frames, small parking etc. Ila majengo yanatosha ila hautofauta taratibu kama plot coverage ratio, setbacks etc