mmewadadako
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 534
- 844
Hakiko jirani na General Chacha aliyekuwa anatoa maji nje usiku na mchana kwa pump yake?
Mil 2?? Mbona ndogo sana kima shida gani?
Hiyo bei ya milioni 2 ni ndogo sana au cha wizi hebu pandisha bei kidogo, hiyo uliyoandika hapo juu milioni 2 ni ndogo sana. Ushauri tu. Dunia ya sasa price inaenda inbox dah. Haya watakuja.mkuu kweli dar hii unaweza pata kiwanja chenye ukuta kwa mil 2?
50 milion mkuuTaja bei
Taja bei.
Kiwanja kipo Mbweni Teta, panaitwa ugogoni.
Hilo ghorofa halo nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
angalia hizi reference ya bei za viwanja vya mbweni50M SI UNANUNUA NYUMBA NA CHENJI INABAKI NYINGI TU
Mkuu sio kila mtu wakumjibu mbweni viwanja vya bei ya 50m ndo bei zake hizo huyo anaesema ananunua nyumba Achana naemkuu nataka nikupe picha halisi ya bei za viwanja vya mbweni angalia hizi reference ya bei za viwanja vya mbweniView attachment 1461589View attachment 1461590
50M SI UNANUNUA NYUMBA NA CHENJI INABAKI NYINGI TU
Mkuu sio kila mtu wakumjibu mbweni viwanja vya bei ya 50m ndo bei zake hizo huyo anaesema ananunua nyumba Achana nae
Acha aende chanika akanunue zipo nyingi.
Kama unayo hio 50m njoo nikuuzie nyumba kimara .Itakuwa ni uzwazwa wa hali ya juu kipindi hiki niwe na milioni 50 halafu nikanunue kiwanja kitupu.
Ni bora niende kimara nikatafute nyumba iliyokamilika.
Nimetolea mfano tu ila bado sijaipata hiyo milioni 50
30 mil ninayo
si haba mkuu...ila iko chini sana hio