Kiwanja dar es salaam

kitongoji

Member
Joined
Apr 27, 2012
Posts
5
Reaction score
2
waungwana, je ni utaratibu gani wa kufuata pindi ninapotaka kubadili hati ya kiwanja yenye majina mawili na libaki moja na mm mwenye ni mmojawapo wa majina hayo yalipo kwenye hati, msaada tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…