Bei gani mkuu?
Kweli weka bei jamani
wale wale wasiotaka kuweka bei, ndo maana biashara zetu hazina mvuto ujanja ujanja mwingi we are not reality, mtu kuweka bei tu anaona taabu, au umekabidhiwa uuze unataka kula cha juu? weka bei acha hizo.
Mwenye hitaji ni wewe unaye uza. Mnunuzi anaweza vutiwa na bei.wauzaji ni wengi. Au ujui mteja ni Mfalme? Be a serious saler.Asanteni sana kwa comment zenu. Lakini ifahamike kuwa Boreless si mwenye mali. Na akijidai kuwa basi yapaswa aitwe DALALI. Naomba zingatia hii sentensi:
KWA MWENYE HITAJI AWASILIANE MOJA KWA MOJA NA MWENYE MALI:
ALI MALUWA 0717-485-432
asanteni sana kwa comment zenu. Lakini ifahamike kuwa boreless si mwenye mali. Na akijidai kuwa basi yapaswa aitwe dalali. Naomba zingatia hii sentensi:
Kwa mwenye hitaji awasiliane moja kwa moja na mwenye mali:
Ali maluwa 0717-485-432