Plot4Sale Kiwanja kikubwa hatua 50 kwa 22 kinauzwa Mbezi Mwisho, 2km kutoka Morogoro Road

MrsPablo1

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2013
Posts
1,073
Reaction score
1,941
Kiwanja kipo Mbezi Mwisho kilometa moja na nusu kutoka Morogoro Road njia nane na kilometer 2 kutoka Kituo kipya cha mabasi Ubungo .

kiwanja kimepimwa
Maji ya dawassa
Umeme
Na huduma zote za kijamii zipo
Ukubwa wa kiwanja ni 50 kwa 22 sawa na sqm 1100.
Bei ya kiwanja ni 28 million Tshs.
Karibu uwasaliane na mimi mwenye kiwanja

📞 0758851175,0713220021.


Ukileta mteja pia utapata commission
Your browser is not able to display this video.

 
Kwa hali ya uchumi iliyopo duniani.Nakushauri tafakari upya hiyo bei la sivyo utakiuza kwa bei hiyo ya 40M mwaka 2026.
Asante.
Sawa nitapunguza kadiri tutavyoelewana na mteja
 
Jamani mi mwenyewe ninacho changu cha wastani nabadilishana na kirikuu tu(maelezo zaidi pm)

samahani mleta mada sijalipia tangazo
 
Lab
Labda kingekuwa mitaa ya kariakoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…