Plot4Sale Kiwanja kilichopimwa na manispaa kinauzwa Kingolwira Morogoro

Plot4Sale Kiwanja kilichopimwa na manispaa kinauzwa Kingolwira Morogoro

Revolution

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2008
Posts
960
Reaction score
927
Habari wakuu! Kiwanja chenye ukubwa wa square meters 600 kinauzwa Tshs 6,500,000. Kiwanja kimepimwa na Manispaa ya Morogoro na hati ipo hatua za mwishoni kutolewa. Kiwanja kipo Kingolwira karibu na kampuni ya alliance one, umeme umefika na kuna ujenzi wa nyumba unaendelea kwenye baadhi ya plots zilizokwishanunuliwa. Maongezi yapo kidogo. Interested buyers wanakaribishwa inbox.
 
Habari wakuu! Kiwanja chenye ukubwa wa square meters 600 kinauzwa Tshs 6,500,000. Kiwanja kimepimwa na Manispaa ya Morogoro na hati ipo hatua za mwishoni kutolewa. Kiwanja kipo Kingolwira karibu na kampuni ya alliance one, umeme umefika na kuna ujenzi wa nyumba unaendelea kwenye baadhi ya plots zilizokwishanunuliwa. Maongezi yapo kidogo. Interested buyers wanakaribishwa inbox.
Kiwanja bado kipo?
 
Back
Top Bottom