Plot4Sale Kiwanja Kinakuwa Nzega

Plot4Sale Kiwanja Kinakuwa Nzega

Druggist

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2010
Posts
439
Reaction score
528
Kiwanja kilichopimwa kinauzwa Mjini Nzega,bei 5m.Kipo Mita 150 toka Rami,Mita 600 toka Stand Kuu ya Mabasi,Ujazo SQM 876,kuna Maji na Umeme.Matumizi ni biashara hususani Lodge/Hotel,Godown, Conference Facilities.Kiwanja kipo Tambarare.
 

Attachments

  • IMG_20241117_124050.jpg
    IMG_20241117_124050.jpg
    1.2 MB · Views: 10
Hili sio jaluba la mpunga kiongozi?
Tabora bado hakujaamka kama ilivo mikoa mingine, nyie changamkiani fursa, tena kipo wilayani kabisa sio Tabora mjini.

Dream yangu kubwa ni kuwekeza sehemu kama hizi kwa maisha ya sasa na vizazi vyangu, japo dunia ngumu sana.
 
Nimefika Nzega mara moja tu. Ila nilipaona ni mahali pazuri sana kuishi, na pia kufanya biashara. Ningekuwa na mkwanja wa uliozubaa, ningekichukua faster hicho kiwanja.

Nawakumbuka sana wale jamaa waendesha baiskeli (ganagana)! Sijui bado wapo!! Wale jamaa hata ukifika kwenye mlima huwa hawataki abiria ushuke! Eti wanahisi kama vile wanakudhulumu nauli yako!!
 
Nimefika Nzega mara moja tu. Ila nilipaona ni mahali pazuri sana kuishi, na pia kufanya biashara. Ningekuwa na mkwanja wa uliozubaa, ningekichukua faster hicho kiwanja.

Nawakumbuka sana wale jamaa waendesha baiskeli (ganagana)! Sijui bado wapo!! Wale jamaa hata ukifika kwenye mlima huwa hawataki abiria ushuke! Eti wanahisi kama vile wanakudhulumu nauli yako!!
Kuja kwenyu Usoto, Bumbui na Nkoogwe mwaatagha ghali sana mia.
 
Back
Top Bottom