Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Bunju A, Dar es Salaam

Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Bunju A, Dar es Salaam

Ramon Abbas

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
1,964
Reaction score
3,913
Kiwanja kinauzwa Bunju A

Kiwanja kiko bunju sehem inaitwa Kinondo kimepakana na kiwanja cha riziwan kikwete

document za serikali ya mtaa zipo

Bado hakijapimwa

Size 30*30

KUHUSU MIUNDOMBINU

Umeme upo ni nguzo moja mpaka kiwanjani.

Maji yapo.

Kiwanja kiko barabara kuu iliyochongwa

Bei 6mil.

IMG-20210620-WA0027.jpg
IMG-20210620-WA0028.jpg


Call us: 0683011003
 
Kwa hiyo nikiwa jirani na Ridhiwani ndio atanisaidia kujenga ama?
 
Jamani hilo ni tangazo la biashara lazima liwe na mbwembwe, yule ni celebrity hivi imagine kwenye tangazo niseme napakana na tangana watu watauliza ndo mdudu gani😜😜😜
 
Saaa ningekuwa na pesa ningekichukuaaa.....kukaa karibu na huyo.....ushauwaga umasikiniii, mwendo WA kuandika project na kumrushia upande WA pili ...........au mnasemaje wakurugwaaaa
 
Back
Top Bottom