Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa Buswelu-Mwakalundi

Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa Buswelu-Mwakalundi

Fideline

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2011
Posts
234
Reaction score
124
Umuofia kwenu!

Kiwanja chenye ukubwa wa Ekari 1.5 kinauzwa

Kiwanja kipo kijiji cha Mwakalundi,umbali wa kilometre 4 toka Buswelu Wilayani.Kimetizamana na barabara kuu na kinafaa kwa biashara,makazi au ujenzi wa hosteli.

Chuo Kikuu Bugando kitajenga campus maeneo hayo siku za karibuni.

Bei ni Tshs 22m.

Kwa mawasiliano tafadhali piga/text
0688657866
 
Back
Top Bottom