Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaijua heka au unaongea tu dogo m5 yako kanunue BajajViroja haviishi dunia hiI 1. Weka picha 2. Punguza bei labda kuanzia 5m Tsh hv
Wewe Chanika unaijua au unaongea ongeaPicha ziko wapi? Halafu chanika ndio unauza bei hiyo?
Wewe Chanika unaijua au unaongea ongea
Umeambiwa Heka ambayo sawa na mita 70 kwa mita 70 wewe ukitaka nunua mita 20 kwa mita 20Jamani mnatukatisha tamaa ambao hatujajenga, hapa unauza kiwanja 20M halafu kuna uzi unasema miliki nyumba yako kwa 32M tu.
Wauza viwanja tuoneeni imani.
Chanika ndo tatizoWewe unaijua heka au unaongea tu dogo m5 yako kanunue Bajaj
Huyu atakuwa dalali ameongeza zaid ili apate na yeyeJamani mnatukatisha tamaa ambao hatujajenga, hapa unauza kiwanja 20M halafu kuna uzi unasema miliki nyumba yako kwa 32M tu.
Wauza viwanja tuoneeni imani.
Inawezekana hiyo chanika unayoijua wewe ni ya miaka ya 2000 mkuu.Chanika ndo tatizo
Hiki sio kiwanja cha miguu 50 kwa 50 type.Viroja haviishi dunia hiI 1. Weka picha 2. Punguza bei labda kuanzia 5m Tsh hv
CHANIKA ndo ishuuuu kwa 20m labda mtafute Bakhressa afungue depo la Askrimu na Maji-Uhai hukoHiki sio kiwanja cha miguu 50 kwa 50 type.
Tunaongelea kiwanja cha heka moja na nusu barabarani.
kama unajua vipimo nadhani utakuwa umepata picha
Kitu kua heka inatosha kua milioni 20?Umeambiwa Heka ambayo sawa na mita 70 kwa mita 70 wewe ukitaka nunua mita 20 kwa mita 20
Na ndomana nmetoa tangazo ili wenye pesa walione kama huna tuliza mshono mkuu sio lazima ushare stress zako kwenye post yangu mkuuCHANIKA ndo ishuuuu kwa 20m labda mtafute Bakhressa afungue depo la Askrimu na Maji-Uhai huko
Kiwanja changu kipo chanika ukitaka vya kibaha watafute madalali wa hukoKitu kua heka inatosha kua milioni 20?
Kibaha utanunua kwa shilingi ngapi boss?
kanunue mashamba vijijini hukoooo mambo ya kupimiana 20m x 20m , 12M yashapitwa na wakati . saivi tunanunua mashamba siyo viwanja. 5m unaweza pata hata 10actres. huko ndanindani zeni fanya uwekezaji unaoujua wewe.Jamani mnatukatisha tamaa ambao hatujajenga, hapa unauza kiwanja 20M halafu kuna uzi unasema miliki nyumba yako kwa 32M tu.
Wauza viwanja tuoneeni imani.
ukinitukana unapata nini?Kiwanja changu kipo chanika ukitaka vya kibaha watafute madalali wa huko
(tusi kubwa) wewe
Usijifanye mjuaji 20M inamaanisha milioni 20kanunue mashamba vijijini hukoooo mambo ya kupimiana 20m x 20m , 12M yashapitwa na wakati . saivi tunanunua mashamba siyo viwanja. 5m unaweza pata hata 10actres. huko ndanindani zeni fanya uwekezaji unaoujua wewe.