Weka pichaWakuu ninauza kiwanja changu 66ft kwa 131ft kipo uelekeo wa Chanika (kutokea Pugu) kituo kinaitwa Kwachikila (Karibu na Sheratoni). Ukishuka hapo bodaboda ni elfu 1 hadi 1.5 mpaka unafika kwenye kiwanja.
Nilinunua kiwanja 8m waka 2015 ila kutokana na tatizo lililonipata ninakiuza kwa 5m (Gharama za serikali za mitaa nitalipa mimi) na nahitaji malipo ya awamu nne. Awamu ya kwanza 2.3m, na awamu tatu zinazofata kila mwezi laki 9 kukamilisha balance ya 2.7m. Kiwanja hakina chochote zaidi ya miti ya matunda michache niliyopanda.
Kwa aliye interested tafadhali awasiliane na mimi mwenyewe kwa maelezo zaidi: 0687868455
Nitakuwa kwenye position ya kuweka picha by kesho mkuu.Weka picha
Karibu sana mkuu.Mkuu mbona umetuletea offer ya Ajabu namna hii? Hakika umeangalia mazingira halisi ya mtanzania. Nitakutumia namba ya dogo langu aje kukiona kesho na ikiwezekana mmalize biashara kama vipi...
Bora ukiuze mapema kabla Lukuvi hajakufikia kaka..Wakuu ninauza kiwanja changu 66ft kwa 131ft kipo uelekeo wa Chanika (kutokea Pugu) kituo kinaitwa Kwachikila (Karibu na Sheratoni). Ukishuka hapo bodaboda ni elfu 1 hadi 1.5 mpaka unafika kwenye kiwanja.
Nilinunua kiwanja 8m waka 2015 ila kutokana na tatizo lililonipata ninakiuza kwa 5m (Gharama za serikali za mitaa nitalipa mimi) na nahitaji malipo ya awamu nne. Awamu ya kwanza 2.3m, na awamu tatu zinazofata kila mwezi laki 9 kukamilisha balance ya 2.7m. Kiwanja hakina chochote zaidi ya miti ya matunda michache niliyopanda.
Kumbuka kiwanja hiki hakijapimwa na picha sina ila kesho asbh nitaenda site kuwaonesha watu hivyo nitapiga picha na kuziupdate hapa.
Kwa aliye interested tafadhali awasiliane na mimi mwenyewe kwa maelezo zaidi: 0687868455
Kaka mbona viwanja vingi tu havijapimwa.... muhimu ni kuwepo maeneo ya makazi. kupima ni process na inahitaji pesa na muda kufanikishwa.Bora ukiuze mapema kabla Lukuvi hajakufikia kaka..
Wakuu ninauza kiwanja changu 66ft kwa 131ft kipo uelekeo wa Chanika (kutokea Pugu) kituo kinaitwa Kwachikila (Karibu na Sheratoni). Ukishuka hapo bodaboda ni elfu 1 hadi 1.5 mpaka unafika kwenye kiwanja.
Nilinunua kiwanja 8m waka 2015 ila kutokana na tatizo lililonipata ninakiuza kwa 5m (Gharama za serikali za mitaa nitalipa mimi) na nahitaji malipo ya awamu nne. Awamu ya kwanza 2.3m, na awamu tatu zinazofata kila mwezi laki 9 kukamilisha balance ya 2.7m. Kiwanja hakina chochote zaidi ya miti ya matunda michache niliyopanda.
Kumbuka kiwanja hiki hakijapimwa na picha sina ila kesho asbh nitaenda site kuwaonesha watu hivyo nitapiga picha na kuziupdate hapa.
Kwa aliye interested tafadhali awasiliane na mimi mwenyewe kwa maelezo zaidi: 0687868455
Ndio mkuukuna maji karibu na hiyo site?
Ndio mkuu
ungepatia Zaidi mkuu kama ungesema ni ya kisima au ya dawasco/bomba
Vipi tena mkuu?
Nimeweka picha kadhaa mkuu japo sijazipata kwa uzuri sana!Weka picha
Mkuu dogo hakufika bei, Kaomba ajipange siku mbili tatu. Ila eneo alilipenda.Mkuu mbona umetuletea offer ya Ajabu namna hii? Hakika umeangalia mazingira halisi ya mtanzania. Nitakutumia namba ya dogo langu aje kukiona kesho na ikiwezekana mmalize biashara kama vipi...