Plot4Sale Kiwanja kinauzwa dege kigambon milion 3.

Plot4Sale Kiwanja kinauzwa dege kigambon milion 3.

choupa moting

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2016
Posts
1,508
Reaction score
2,563
Habarini wadau, kuna eneo ambalo ni zuri kwa makazi maeneo ya dege kigamboni. Ni ukubwa wa mita 25 kwa 25. Bei ni milion tatu. Mwenye uhitaji serious anichek 0764503076. Umeme na maji yapo maeneo hayo. Pia barabara ni ya lami kutokea ferry kigambon. Karibuni sana.
 
Habarini wadau, kuna eneo ambalo ni zuri kwa makazi maeneo ya dege kigamboni. Ni ukubwa wa mita 25 kwa 25. Bei ni milion tatu. Mwenye uhitaji serious anichek 0764503076. Umeme na maji yapo maeneo hayo. Pia barabara ni ya lami kutokea ferry kigambon. Karibuni sana.
Kipo maeneo gani hapo Dege??

kuna umbali gani toka barabara ya lami?? na kwanini unauza??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wadau, kuna eneo ambalo ni zuri kwa makazi maeneo ya dege kigamboni. Ni ukubwa wa mita 25 kwa 25. Bei ni milion tatu. Mwenye uhitaji serious anichek 0764503076. Umeme na maji yapo maeneo hayo. Pia barabara ni ya lami kutokea ferry kigambon. Karibuni sana.
Mita 25 x mita 25 = 625 Sqm
Tshs 3,000,000/625 Sqm
= Tshs 4,800/ 1Sqm
 
Kwa ukubwa huo kinafaa kwa banda la kuku.
 
Back
Top Bottom