Plot4Sale Kiwanja kinauzwa dege Kigamboni

Plot4Sale Kiwanja kinauzwa dege Kigamboni

choupa moting

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2016
Posts
1,508
Reaction score
2,563
Kiwanja kinauzwa maeneo ya dege Kigamboni chenye ukubwa wa mita 35*35.
Kipo maeneo ya dege Kigambon jiran na yale magorofa.
Hakipo mbali na barabara.
Hakijapimwa ila kiko kwenye maeneo ya makaz coz baadhi ya majiran wamepima tayar.
Bei ni milion 6 ila inapungua.
Karibuni serious buyers.
Mawasiliano 0755251314.
 
Mkuu ungetoa maelezo ya umbali toka feri hadi Dege ingependeza. Maana si kila mtu afahamu 'jirani na yale magorofa'
 
Mkuu ungetoa maelezo ya umbali toka feri hadi Dege ingependeza. Maana si kila mtu afahamu 'jirani na yale magorofa'

Kama 18 kilomita kutoka ferry. Japo sina makadirio kamili ila nadhan itakua ina range humo.
 
Kiwanja kinauzwa maeneo ya dege kigambon,
chenye ukubwa wa mita 35*35.
Kipo maeneo ya dege kigambon jiran na yale magorofa.
Hakipo mbali na barabara.
Hakijapimwa ila kiko kwenye maeneo ya makaz coz baadhi ya majiran wamepima tayar.
Bei ni milion 6 ila inapungua.
Karibuni serious buyers.
Mawasiliano 0755251314.
Mkuu barabara ipo ya kudumu mpaka kiwanjan hapo? Na je malipo kwa installment vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom